JINSI WAPANGA SHAMBULIZI UWANJA WA NDEGE AFGHANISTAN WALIVYOUAWA

 Two ISIS-K Kabul bomb plotters were killed by US drone strike while riding on tuk-tuk

PICHA inayoonyesha jinsi watuhumiwa wawili wanaodaiwa kupoanga shambulizi lililofanywa Uwanja wa ndege waq Kabul huko Afghanistan walivyouawa na ndege isiyo na rubani.

Inadaiwa wawili hao waliuliwa wakiwa wanaendesha pikipiki ya mnatairi matatu maarufu kama guta.

No comments