OLE SABAYA KUSOMEWA KESI MPYA LEO

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai
Ole Sabaya leo atapandishwa kizimbani na kusomewa kesi mpya ya Uhujumu Uchumi
akiwa na wenzake Sita
Atasomewa mashtaka hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Arusha.
Kesi ya awali ambayo ni ya
unyang'anyi na wizi wa kutumia silaha imemalizika kusikilizwa na kusubiri
hukumu ambayo itatolewa Oktoba Mosi mwaka huu.

Post a Comment