MWAKALKEBELA, MATOLA WAKUTANA EAPOTI MOROCCO, KUKWEA PIPA MOJA

 Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na maandishi

SOKA siyo uadui. Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela akiwa na Kocha Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola walipokutana katika Uwanja wa Ndege wa Mohammed V jijini Rabat Morocco. Viongozi hao kila mmoja yupo na msafara wa wachezaji waliosalia baada ya wenginbe kutanguklia nyumbani

No comments