KOFFI OLOMIDE ATUA KWA WIKI YA WANANCHI KESHO
MKONGWE wa muziki
barani Afrika, Koffi Olomide, raia wa DRC Kongo anayeishi Ulaya, amewasili Dar es
Salaam leo kwa ajili ya kujumuika na 'wananchi' kesho katika dimba la Benjamin
Mkapa.
Koffi ataongoza
wasanii waalikwa katika kutoa burudani katika hitimisho la wiki nzima la
shughuli hiyo inayofanyika kila mwaka kwa ajili ya tamasha kubwa la klabu bingwa
ya kihistoria nchini, Yanga.

Post a Comment