ARSENAL WACHAPWA BAO 5-0 NA MAN CITY

 Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na maandishi yanayosema 'ETIHAD AIRWAYS Premier PremierLeague League HANCHESTER A 90+3' CITY 5 Arsenal Man City 0 Arsenal'

HALI ni mbaya kwa vijana wa Emirates walio chini ya kocha Mikel Arteta kwani katika mchezo wa leo dhidi ya mabingwa watetezi Man City, wamebugizwa mabao 5-0 na hivyo kuweka matatani kibarua cha mwalimu huyo raia wa Hispania, ambaye pia alikuwa nahodha wa kikosi hicho enzi za Arsene Wenger.,

No comments