KILELE SIKU YA WANANCHI BENJAMIN MKAPA LEO

LEO ndiyo kilele
cha wiki ya wananchi 'Yanga Day' ambayo ilizinduliwa kule Zanzibar.
Katika kuhitimisha
shughuli hiyo ambayo tayari hivi sasa imeanza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa
jijini Dar es Salaam, bonge moja la mechi litachezwa.
Yanga inayosukwa
upya kwa ajili ya Ubingwa wa Tanzania Bara na Zanaco ya Zambia.
Katika burudani,
mkongwe wa muziki barani Afrika, Koffi Olomide amekuja kufunika. Ni shoo ya
kibabe, si ya kukosa leo, sasa hivi, Benjamin Mkapa.

Post a Comment