HAMZA MOHAMED HASSAN KUZIKWA LEO

KIJANA Hamza
Mohammed Hassan, aliyeua askari polisi wanne kwa risasi mapema wiki hii,
anazikwa leo.
Kwa mujibu wa
habari zilizopatikana, mwili wa kijana huyo mfanyabiashara wa madini
ulichukuliwa na ndugu zake kutoka Polisi ulikokuwa ukifanyiwa uchunguzi.

Post a Comment