HAJI MANARA ANUSURIKA KIFO

 MAKALA: Wanasaikolojia wamchambua Haji Manara - Mwananchi

KUPITIA akaunti yake ya Instagram, Haji Manara kutoka kitengo cha uhamasishaji cha Yanga, ameandika kuwa usiku wa jana gari lake limegongwa na almanusura afe. Pole sana kwa Bugatti. 

No comments