JUMUIYA ZA KIMATAIFA ZAHUDHURIA KESI YA MBOWE MAHAKAMA KUU

KESI aliyoifungua Freeman Mbowe
Mahakama kuu dhidi ya IGP , DPP na AG ya kupinga namna alivyokamatwa Mwanza na
kupewa kesi ya Ugaidi , imeendelea leo Mahakama Kuu na kuvuta wawakilishi kadhaa
wa Jumuiya ya Kimataifa.

Post a Comment