GWAJIMA KUSHIRIKI MJADALA WA COVID KIMATAIFA LEO

 Josephat Gwajima: Kwa nini madai ya mhubiri huyu kuhusu chanjo ya corona  yanapotosha - BBC News Swahili

ASKOFU Josephat Gwajima ambaye hivi karibuni aliingia matatani na Bunge juu ya chanjo ya Covid 19, leo atashiriki mjadala wa kimataifa unaohusu chanjo ya ugonjwa huo kupitia mitandao ya kijamii.

Alitoa taarifa hiyo juzi Jumapili wakati akihubiri kanisani kwake.

Miongoni mwa washiriki ni mtengenezaji wa chanjo ya Pfizer na Watafiti wengine nguli wa Kemia na Baiolojia.

No comments