NDEGE YA MAREKANI ILIYOWAUA WALIOLIPUA KABUL, PIA ILIUA WATOTO WATATU

 The strike destroyed a vehicle carrying "multiple suicide bombers" from Afghanistan's Islamic State affiliate on Sunday

ZIPO taarifa kwamba ndege isiyo na rubani ya Marekani, ambayo iliwaua watuhumiwa wawili wanaodhaniwa kupanga shambulizi la kujitoa muhanga katika uwanja wa ndege wa Kabul, huko Afghanistan, pia iliwaua watoto watatu waliokuwa jirani pamoja na kufanya uharibiwa mkubwa wa mali.

No comments