MANJI AACHIWA KWA DHAMANA TOKA TAKUKURU

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Yussuf Mehboob Manji, ambaye aliwasili nchini siku chache akitokea Ughaibuni alikoenda tangu mwaka 2018, ameachiwa kwa dhamana kutoka mikononi mwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU.
Bosi wa Taasisi
hiyo, Kamanda Hamduni amethibitisha jambo hilo, hata hivyo akisema pamoja na
kuwa nje kwa dhamana, bado wanaendelea kuchunguza tuhuma dhidi yake.
Pamoja na mambo
mengine, Manji anadaiwa kukwepa kodi kupitia kampuni zake kadhaa zilizopo
nchini.

Post a Comment