ZIZZOU NA VILLARREAL NCHINI HISPANIA


Marco Materazzi reveals exactly what he said to cause Zidane's headbutt in  2006 World Cup final

MWAMBA Zinadine Zidane maarufu kama Zizzou, Mfaransa mwenye asili ya Algeria, anachukuliwa bado kuwa ndiye mchezaji fundi zaidi wa mpira kuwahi kutokea katika soka la kisasa nchini Ufaransa.

Ana kumbukumbu nyingi, lakini ambayo wengi hawaifahamu ni kwamba kuna 'kauhusiano' flani kati yake na mabingwa wapya wa Europa League msimu huu, Villarreal.

Akiwa mchezaji wa Real Madrid, mechi yake ya mwisho kuichezea ilikuwa ni dhidi ya timu hii katika La Liga mwaka 2006.

Na mchezo wake wa mwisho msimu huu, akiwa kama kocha wa Real Madrid, ulikuwa dhidi ya timu hiyo hiyo, ndani ya Santiago Bernabeu.

 

No comments