MSIKILIZE MOHAMMED GHULAM DEWJI 'MO'


Kisa mabadiliko Simba, Mo Dewji atema nyongo - Mwanaspoti

TOKA nikiwa kijana, nilikuwa na ndoto ya kuwa mjasiriamali.

Ushauri wangu kwa wajasiriamali vijana:

Safari ya ujasiriamali imejaa vikwazo, matuta na kona nyingi. Unahitaji kuwa na nidhamu, ustahamilivu na zaidi ni Adabu, kadri unavyosonga mbele. Kutumia njia za mikato hazitokusaidia kufahamu au kufikia malengo kistahiki. 

No comments