ZIZZOU APISHANA NA DAVID ALABA REAL MADRID
:focal(1732x667:1734x665)/origin-imgresizer.eurosport.com/2021/04/21/3118670-63929128-2560-1440.jpg)
HUKU Kocha Zinedine Zidane 'Zizzou; akitangaza kuondoka Real Madrid kwa mara ya pili, klabu hiyo bingwa wa kihistoria wa Champions League, imemtangaza mchezaji David Alaba kutoka Bayern Munich alikodumu kwa muda mrefu tokea akiwa kinda wa miaka 16.
Mitandao ya kijamii ya Real Madrid imeripoti kuwa mchezaji
huyo amesaini kandarasi ya miaka mitano.
David awali hakutegemewa kupewa mkataba mrefu zaidi kutokana
na umri wake na majeraha yanayomsumbua mara kadhaa.

Post a Comment