MBWANA SAMATA ATUA BONGO

MWANASOKA mkubwa zaidi katika kizazi cha sasa nchini Tanzania, Mbwana Samata, tayari yupo nchini baada ya ligi ya kule Uturuki anakocheza, imemalizika.
Samata ambaye pia amechaguliwa
katika kikosi cha Taifa Stars inayojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya
Malawi, amesema amekuja kuisalimia familia yake sambamba na wazazi wake.

Post a Comment