MBWANA SAMATA ATUA BONGO


Inaweza kuwa picha ya Mtu 1, mtoto, vishungi vya nywele na ndani

MWANASOKA mkubwa zaidi katika kizazi cha sasa nchini Tanzania, Mbwana Samata, tayari yupo nchini baada ya ligi ya kule Uturuki anakocheza, imemalizika.

Samata ambaye pia amechaguliwa katika kikosi cha Taifa Stars inayojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi, amesema amekuja kuisalimia familia yake sambamba na wazazi wake.

 

 

No comments