TRIPPLE C WA SIMBA AFIWA NA MKEWE ZAMBIA


Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na maandishi yanayosema 'uhisport XTRA ortPesc 64 likes henchachama A dark cloud upon our family, our wife and mother of our children. Today you answered to God' calling this morning Only God can explain why, Clatous Chama S wife Mhsrip #Aleteka'

KIUNGO mchezeshaji na Master Mind wa Klabu ya Simba Clatus Chota Chama amefiwa na mkewe huko kwao Zambia.

Chama hakuwepo leo wakati timu yake ya Simba, ambayo ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, walipopata ushindi wa nguvu nyingi za kiufundi dhidi ya Namungo Fc kule Luhangwa.

Tripple C alilazimika kusafiri kuelekea Zambia ili kushiriki kumzika mwenza wake.

Taarifa zaidi za ushiriki wa Simba katika msiba huo zitatolewa

No comments