CEO TIDO MHANDO AIPIGA MKWARA TFF: HATUTAKI TENA RATIBA YA LIGI IINGILIWE

BAADA ya Azam Media kumwaga
mpunga mrefu wa shilingi bilioni 225 kwa udhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa
miaka kumi,
Afisa mtendaji mkuu wa Azam
Media LTD Tido Mhando amesema udhamini waliouweka wa Bil 225.6 kudhamini ligi
kuu Tanzania bara Moja ya masharti yake Makubwa ni pamoja na kutotaka ratiba ya
ligi hiyo kuathiriwa na mambo ya kisiasa kama ratiba kuvurugika badala yake
mpira uachwe uchezwe kwa kuzingatia kanuni zinasimamia Maswala ya Soka Nchini.

Post a Comment