SIMBA WALAMBA BONASI YA MILIONI 50 TOKA SPOT PESA

 

Simba wajazwa tena mamilioni

WADHAMINI wakuu wa timu ya Simba, kampuni ya Spot Pesa, leo wameikabidhi timu hiyo hundi ya shilingi milioni 50, ikiwa ni bonasi kufuatia kufika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika Msimu huu.

Tarimba Abbas, Mbunge wa Kinondoni na Mwakilishi wa kampuni hiyo nchini, alikabidhi mfano wa hundi hiyo kwa CEO wa mabingwa hao wa nchi, Barbara Gonzalez leo jijini Dar es Salaam.

No comments