SIMBA QUEENS MABINGWA TENA LIGI KUU WANAWAKE

TIMU ya Simba Queens imefanikiwa
kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya wanawake Msimu huu (Serengeti Lite Women's
Premier league 2020/2021) ikiwa ni mara ya pili mfululizo.
Hiyo ni kufuatia mechi yao ya leo ya
ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Baobab Queens.

Post a Comment