BARCA NDO BASI TENA LA LIGA

 Messi in poor form as Barcelona visits Juventus | Daily Sabah

BARCELONA ya Hispania, imejiondoa katika kuwania ubingwa wa La Liga msimu huu baada ya kukubali kipigo chA BAO 2-1 mbele ya Celta Vigo.

Matokeo hayo yanaziacha timu mbili za Madrid, Real na Atletico kusubiri matokeo ya mechi zao za mwisho kumpata mfalme mpya wa ligi hiyo ya Hispania

 

No comments