SHABIKI ALIYEWEKA HISTORIA UCL


Inaweza kuwa picha ya Watu 2 na watu wanacheza spoti




 MWAKA 2001, Man United ikiwa ya moto, ilicheza na Bayern Munich katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

Matokeo wala hayakuwahi kuwa gumzo, bali gumzo kubwa lilikuwa ni ubunifu wa shabiki mmoja wa Man United, ambaye alivaa sare sawa na mabingwa hao wa England, kisha akajipenyeza na kuingia uwanjani kuungana na wachezaji.

Akafanikiwa kupiga nao picha ya pamoja kabla ya mchezo.

No comments