NI SIMBA VS KAIZER CHIEFS
Droo ya mechi za michuano
ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, hatua ya robo fainali imetolewa jana huku
mabingwa wa Tanzania, Simba wakipangwa kukipiga na miamba wa Afrika Kusini,
Kaizer Chiefs.
Mchezo wa kwanza wa
robo fainali hiyo utapigwa ugenini huko kwa Madiba kati ya Mei 14 au 15 na ule
wa marejeano, utafanyika 'machinjioni' Benjamin Mkapa Stadium jijini Dar es
Salaam.

Post a Comment