POLEPOLE OUT, DANIEL CHONGOLO KATIBU MKUU CCM

”
HALMASHAURI Kuu ya
Taifa ya CCM katika kikao Maalum kilichoketi leo mara tu baada ya Mkutano Mkuu wa chama
hicho chini ya Uenyekiti wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa CCM kimeridhia mapendekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti kujaza
nafasi kadhaa na kufanya mabadiliko katika Sekretariati kuu ya CCM.
Safu mpya ya
Sekretarieti ya CCM
KATIBU MKUU- Daniel
Chongolo (Aliyekuwa DC Kinondoni)
KATIBU ITIKADI NA
UENEZI - Shaka Hamdu Shaka
KATIBU UCHUMI/FEDHA
- Frank George Hawasi
KATIBU
SIASA/UHUSIANO KIMATAIFA- Ngebela Lubinga
KATIBU
OGANAIZESHENI- Mama Maurdin Kastiko
NAIBU KATIBU MKUU
BARA - Christina Mndeme (Aliyekuwa RC Ruvuma)
NAIBU KATIBU MKUU
ZANZIBAR - Abdallah Juma Sadala Mabodi

Post a Comment