MWAKINYO AMPIGA MUANGOLA KWA TKO

NYOTA ya mwanamasumbwi wa Tanzania, Hassan Mwakinyo bado inang'aa kwani katika ukumbi wa Next Door Arena jana, alimpiga kwa TKO mpinzani wake raia wa Angola kwenye raundi ya tisa.
Bondia Antonio Mayala alilazimika
kusalimu amri katika raundi hiyo na hivyo kumpa Mwakinyo mkanda wa Super Welter
unaotambuliwa na Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Afrika (ABU).

Post a Comment