MSIKIE THE ONE AND ONLY RAPPER CHID BENZ

 

MSANII CHID BENZ AKAMATWA TENA NA DAWA ZA KULEVYA | MALUNDE 1 BLOG

THE one and only rapper wa Bongo kushika chat kubwa katika soko, then soon kuporomoka to the botton, The La Familia Boss, Chid Benz bado ni mbishi sana.

Okay, mashabiki wanasema yeye anabwia unga so hawamuhesabu, lakini listen to him:

'So Now hakuna Tuzo Tanzania..?? Na wasanii ni watatu tu au wawili koz sitaki kusema mmoja. Na watu wengi hawaskiki na wamepotea ila Chidi Beenz haskiki sababu anavuta madawa ambayo sijajua nani anamnunulia kama hana pesa wala Biashara yoyote anayofanya.

"Hana kitu kwa kifupi. Nataka kujua wengine woooote Ambao hawaskiki out of WASANII HAWA WATATU WALIOPO NOW pia wanahusishwa na Madawa au Wameacha tu kufanya Waskike na waonekane. Na watu bado wanachangia kusema Teja Teja kwa sababu mtu unakonda.?

"But Hawashtuki Kuna Wasanii wa3 tuu walioamka na wana Maendeleo. Kama kuamka ni Huko mi ngoja niendelee Kulala. I miss my Dad and i love my Mum. Na Salaam ziende kwa wazazi wote wa wasanii wenzangu ambao pia WAMECHANGANYIKIWA na Maendeleo ya Watoto wao. Na Waliotangulia Chini kwa sababu ya Kuchanganyikiwa huko na zaidi kuona Wazazi wa hao kuwa Mastaa bila Singo. Usiku Mwema'' @official_chidibeenz.

 

No comments