MPOKI ASEMA DIAMOND NI MSHINDI

MCHEKESHAJI mahiri nchini Tanzania, Mpoki amempongeza msanii Diamond Plutnumz kwa kuteuliwa kuwania Tuzo za BET mwaka huu akisema kitendo hicho pekee kimempa ushindi hata kama hatapata ushindi siku ya shughuli.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram,
Mpoki ameandika: ''09/Dec/1961 TZ ilipata Uhuru Mpk sasa inakadiriwa
jumla ya Watanzania tunakaribia 60M, Lakini umekuwa Mtanzania mwingine
kuchaguliwa ktk award kubwa zaidi Duniani (BET) hata usiposhinda kwetu sisi
wewe ni mshindi thamani yako kubwa sana........tulipewa Akili,utashi na maarifa
ili tuvitumie kwa Pamoja,,,,,,Hongera sana wengine ngozi zetu nyeusi ila Roho
zetu nyeupe @diamondplatnumz @wcb_wasafi ''

Post a Comment