MATEJA NI HATARI KIGAMBONI- MKUU WA WILAYA


DC SARA MSAFIRI WA KIGAMBONI AZINDUA RASMI KAMPENI YA "BINTI ITAMBUE  THAMANI YAKO".

 MKUU wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafri amethibitisha kuwa eneo lake linaathiriwa vibaya na madawa ya kulevya, kwani makumi ya watu wanaletwa katika vituo vya kutoa huduma za kuwasaidia waathirika kila mwezi.

“Sasa hivi Wilaya ya Kigamboni kila mwezi tunapata waathirika 50 wa dawa za kulevya wanaofika kwenye kituo chetu cha Vijibweni ambao kwa mwaka ni Waathirika 600 kwenye kituo hiki, ni wengi sana ukilinganisha na vituo vingine,” amesema DC Sarah Msafiri. 

“Pia tumetembelea na sober house zetu, tumetembelea Pili Misana Sober House ambao kwa miaka 8 wamehudumia waathirika sio chini ya elfu moja, tumekwenda kituo kingine cha The Waited Rehab na kina kama mwaka mmoja na tayari amepokea Wagonjwa 32, unaweza kuona athari zilivyo kubwa,

 

No comments