MARAIS WA MANZESE WADAIWA KUPATA AJALI

WASANII wawili wakubwa wa muziki wa
kizazi kipya ambao kwa nyakati tofauti hujinadi kuwa ni Marais wa Kitongoji cha
Manzese jijini Dar es Salaam, Ney wa Mitego na Madee, wanadaiwa kupata ajali
usiku wa jana.
Awali ilidaiwa kuwa Ney alipata
ajali akiwa na bodaboda na baadaye zikaja zingine zikidai naye Madee amepata
ajali.
Haijafahamika bado ukweli wa habari
hizo na Ojuku blog inafuatilia kwa karibu ili kujua kama ni kweli au kiki za
kimuziki.

Post a Comment