MANGWEHA KABURINI MIAKA NANE SASA
LEO imetimia miaka nane kamili tangu kifo cha mwamba Albert Mangweha maarufu zaidi kama Ngwea, msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya Tanzania.
Ngwea alifariki kwa
kile kinachodaiwa matumizi makubwa ya madawa ya kulevya, akiwa nchini Afrika
Kusini na baadaye kuzikwa nyumbani kwao mkoani Morogoro.
Katika uhai wake,
msanii huyo alijipambanua kuwa bora kwa namna ya uandishi wa mashairi yake, pia
alikuwa mtaalam wa freestyle na akiwa na hit songs nyingi ambazo hadi leo
zinaweza kuwainua watu vitini.

Post a Comment