MAMA SAMIA AENDA KUMPA HI BI MKUBWA, MAMA MARIA NYERERE


Inaweza kuwa picha ya Watu 2, watu wanasimama na ndani

 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, amekwenda kumpa Hi Mama Mjane wa Baba wa Taifa, Maria Nyerere.

Katika picha iliyorushwa mitandoini, wawili hao wameonekana wakiwa katika nyuso za furaha kama mama na mwana.

Picha kwa hisani ya Idda Mushi

No comments