MAKAMU WA RAIS MALI ACHUKUA MADARAKA


Assimi Goïta, who now serves as vice-president, said he was not consulted about a cabinet reshuffle


MAKAMU wa Rais wa Mpito Nchini Mali, Kanali Assimi Goita amechukua madaraka baada ya Rais wa Mpito na Waziri Mkuu kushindwa kumshirikisha katika uundaji wa Serikali.

Goita ambaye aliongoza Mapinduzi ya Kijeshi yaliyotokea Agosti 2020, amesema alielekeza kushikiliwa kwa viongozi hao baada ya wenzake wawili walioshiriki Mapinduzi kuondolewa kwenye nafasi zao Serikalini.

Amewahakikisha wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2022 ili kupata viongozi waliochaguliwa utaendelea kama ilivyopangwa.

No comments