MAHAKAMA KUU YASEMA TEUZI ZA RAIS KENYATTA ZILIKIUKA KATIBA


Uhuru Kenyatta can't have his cake and eat it too

MAHAKAMA Kuu Nchini Kenya imesema uteuzi wa viongozi 128 wa Mashirika ya Umma uliofanywa na Rais Uhuru Kenyatta mwaka 2018 ulikiuka Katiba.

Imeelezwa, teuzi za Rais Kenyatta zilizohusisha watu waliokuwa watumishi wa Serikali zilifanywa kwa namna ambayo haikuwa wazi hivyo hazifai.

Mahakama imesema Wakenya walitaka teuzi kuwa wazi na za Haki, huku zikizingatia watu kutoka Jamii mbalimbali pamoja na wale wenye Ulemavu.

No comments