KOMANDO JIDE ATOA MPYA
WAKATI kila mmoja hupenda kupewa hongera inapofika siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwake, hali imekuwa tofauti kidogo kwa mkongwe wa Afro Pop nchini, Lady Jaydee baada ya kuwapiga watu mkwara.
Kupitia akaunti yake huko Instagram, Jide
ameandika: "Niwataarifu tu kuwa napokea zawadi za birthday kuanzia leo
hadi tarehe 21 June.
Wahi nafasi ya kunizawadia mapema ili uongezwe kwenye list ya
wana familia wangu."

Post a Comment