KIWANDA CHA MIKATE CHAOMBA RADHI MTEJA KUKUTA TUNDU KATIKATI YA MKATE, KUMLIPA FIDIA

KIWANDA kimoja nchini Kenya kilicho maarufu sana kwa uokaji mikate kiitwacho Super Loaf, kimemuomba radhi mmoja wa wateja wake aitwaye Kelly Inyani aliyelalamika kukuta uwazi katikati ya mkate alionunua, jambo alilolitafsiri kama kupunjwa mkate ikilinganishwa na thamani ya fedha alizolipa.
Kiwanda hicho kimesema kimepokea
kwa huzuni lalamiko hilo na kuahidi kuwa kitamlipa fidia mteja wake huyo pamoja
na kumuomba radhi kwa usumbufu alioupata. Hata hivyo haijajulikana ni kiasi
gani atalipwa.

Post a Comment