HIVI NDIVYO WAJANJA WALIVYOPIGA MABILIONI WIZARA YA FEDHA, MARCH, APRIL NA MEI


Dr.Mwigulu Nchemba (MG) (@mwigulunchemba1) | Twitter


Tarehe 31/03/2021 Shilingi 251,000,000/= (kazi maalum). Siku hiyo hiyo tena tarehe 31/03/2021 Shilingi 198,000,000/.

Mwezi April.

Tarehe 08/04/2021 Shilingi 44,500,000/=
Tarehe 13/04/2021 Shilingi 155,295,000/=
Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,900,000/= (kuandaa mpango wa kuhifadhi mazingira).
Tarehe 30/04/2021 Shilingi 14,400,000/=
(siku ya wanawake)
Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,000,000/=

Mei mosi siku ambayo sio ya kazi.
Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi asubuhi Shilingi 184,100,000/=
Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi Mchana Shilingi 264,000,000/=
Tarehe 03/05/2021 Shilingi 146,500,000/=
(Kuandika mpango Kazi wa manunuzi watu125 
😀

Siku hiyo hiyo tena Shilingi 171,200,000/=(kuandaa nyaraka za bunge).

Halafu kibaka aliyeiba kuku unashiriki kumchoma moto!

No comments