FRED VUNJABEI ATOA SOMO KWA VIJANA


Fred Ngajiro - Wikipedia

KATIKA tafsiri inayoweza kusemwa kuwa anatafuta ukaribu na watu waliomzidi fedha, mfanyabiashara kijana Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei, amewapa somo muruwa vijana wenzake.

Katika kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii, Fred Vunjabei amesema: Ni vizuri kumsogelea aliyekuzidi ili ujifunze vikubwa na siyo kutegemea vidogo kutoka mfukoni mwake..

Huu pia unaweza kuwa ujumbe kwa wale ambao watoto wa mjini wanawaita 'Chawa'. 

No comments