DAVIDO ASOGEZA MCHUMA WA BILIONI MOJA BANDANI


I Don't Use My Father's Money For Hype" - Ghanaian Musician, Shatta Wale,  Shades Davido Following The Purchase Of His Rolls Royce - ABTC

MSANII nyota kutoka Nigeria, Davido amenunua gari aina ya Rolls Royce yenye thamani ya dola za Marekani 450,000 ambazo kwa pesa za madafu ni zaidi ya bilioni moja.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, nyota huyo amesema baada ya kula bata kwa kipindi kirefu na kutoa misaada mingi kwa wahitaji, ameamua kujizawadia.


Akiwa Marekani, Davido ameandika baada ya kukabidhiwa mchuma huo wa kifahar "Tunafanikiwa kwa kusaidia wengine lakini usiache kujizawadia, MUNGU Ni Mwema Nimejipatia Rolls Royce yangu ya kwanza" 

No comments