BOSI GSM AIPONGEZA AZAM MEDIA


Naipenda YANGA - GHALIB SAID MOHAMED. Mwenyezi Mungu... | Facebook

KUFUATIA kitendo cha Kampuni ya Azam Media Ltd cha kutiliana saini mkataba wenye thamani ya shilingi bilioni 225.6 na Shirikisho la Soka Nchini TFF kama haki za matangazo ya televisheni kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, bosi wa makampuni ya GSM amepongeza hatua hiyo.

Ghalib Said Mohammed, ambaye kampuni yake inaidhamini Yanga ambao ni mabingwa wa kihistoria, amesema kitendo hicho kinastahili pongezi kwani kinatoa chache kwa vijana wa kitanzania kujituma ili kutumia fursa hiyo kikamilifu. 

No comments