AZAM MEDIA YAVUNJA REKODI MKATABA TFF

 Inaweza kuwa picha ya maandishi yanayosema 'azamtv.co.tz BONASI KWA TIMU ZA VPL MSIMU 2021/2024 Mil. 500 Bingwa Nafasi ya 2 Nafasi ya 8 Mil. 250 Nafasi ya 3 Mil. 50 Nafasi ya 9 Mil. 225 Mil. 45 Nafasi ya 10 Nafasi ya 4 Nafasi ya 5 Mil. 200 Nafasi ya 11 Mil. 65 Mil. 40 Mil. 35 Nafasi ya 6 Nafasi ya 7 Nafasi ya 12 Mil. 60 Mil. 30 Mil. 55 Nafasi ya 13 Playoff Mil. 25 Mil. 20 FOOTBALL FRENN ARERAMA .TFF. SHIRIKISHO LA MPIRA WA TANZANIA'

KAMPUNI ya Azam Media, ambayo ina mkataba wa kuonyesha Ligi Kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Soka Nchini TFF, limevunja rekodi baada ya kuingia makubaliano ya kuifanya kazi hiyo kwa dau la zaidi ya shilingi bilioni 200.

Tofauti na mkataba uliopita ambao ulikuwa na thamani ya shilingi bilioni 23 pekee, safari hii timu zote zitakazocheza Ligi Kuu zitaondoka na mshiko, huku bingwa kuanzia msimu ujao, akijihakikishia kitita cha shilingi milioni 500.

 

No comments