Sehemu ya
Daraja la Magara lenye urefu wa meta 84,
lililokamilika kujengwa na Kampuni ya China Railway Seventh Group (CRSG), kwa
gharama ya shilingi bilioni 12.6 kwa
kipindi cha miezi 24. Daraja hilo
liko kwenye mto Magara eneo la Mwada katika barabara ya Mbuyu wa Mjerumani hadi
Mbulu.
Post a Comment