NABII KINUNDA ALITABIRI KIFO CHA MAGUFULI

 

Elishaddai Temple International (ETI): JIRAN : NABII KINUNDA


WAKATI Taifa likiwa linaanza maisha bila uwepo wa Rais wake wa Tano duniani, John Pombe Magufuli, Nabii Kinunda wa Kanisa la Elishaddai International, lililopo Boko Basihaya, alishatabiri kifo chake tangu Januari 17, mwaka huu.

Katika ibada ya Januari 17, 2012 kanisani kwake, Nabii Kinunda alitabiri juu ya kifo cha kiongozi mkubwa Afrika Mashariki na baadaye Februari 21, 2012, akatabiri kifo cha kiongozi mkubwa Tanzania ambako bendera zitapepea nusu mlingoni.

Tazama video hii hadi mwisho...

No comments