BOSI BANDARI ATUMBULIWA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari
Tanzania (TPA) Injinia Deusdedit Kakoko kupisha uchunguzi “Kuna ubadhirifu
mkubwa Bandarini naomba TAKUKURU ikafanye kazi, nimeletewa ripoti ya ubadhirifu
wa Bilioni 3.6

Post a Comment