RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AAGIZA UHAKIKI BOT
Naomba nitoe agizo kwako CAG na
Gavana wa Benki yuko hapa, naomba uende ukapitie fedha zote zilizotoka kuanzia
January hadi Mwezi huu March kwenda kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo
tunataka kuziona”-Rais Samia Suluhu akipokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) Ikulu Dodoma leo.

Post a Comment