RAIS AONGOZA NAADHINISHO YA MIAKA 62 YA UHURU JIJINI DODOMA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru kuhusu kazi mbalimbali ambazo zinafanyika katika Tume hiyo wakati wa Maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, 2023. Maadhimisho hayo pamoja na uzinduzi wa Mchakato wa ukusanyaji maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, yamefanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

No comments