Kituo cha Polisi cha milioni 800 chazua gumzo

 



Kituo cha Polisi Wilaya ya Butiama ambacho kinatarajiwa kukamilika Desemba mwakani, kitaghariu kiasi cha shilingi za kitanzania 802, ambazo hata hivyo, kimezua gumzo.

Kwa mujibu wa maelezo ya mradi, fedha hizo ni pamoja na ulipwaji fidia kwa wananchi waliotoa viwanja vyaio, umeme, mafuta na gharama zingine zinazoyzunguka mradi huo

No comments