Abdi Banda aiponza Chippa United kufungiwa na FIFA
Abdi Banda ambaye yupo katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars inayojiwinda kwa mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Niger na Morocco, anaidai timu hiyo kiasi cha shilingi milioni 160.

Post a Comment