TANZANIA KUFAIDIKA NA FEDHA ZA MABADILIKO YA TABIACHI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini kwa ajili ya kushiriki Mkutano Mkuu wa 12 na Kikao cha 16 cha Baraza la Nchi Wanachama wa Taasisi ya Kimataifa ya Green Global Growth.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akifanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Green Growth (GGGI) Dkt. Frank Rijsberman jijini Seoul nchini Korea Kusini ambapo wamejadili kuhusu utayari wa Tanzania kuwa mwanachama wa GGGI na kushirikiana na taasisi hiyo kujengewa uwezo katika kuandaa programu, miradi na mikakati ya kufaidika na fedha na uwekezaji wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Post a Comment