MUNGU NI MUWEZA WA YOTE, ALIYEGONGWA NA MWENDOKASI AREJEA MTAANI
Ajali hiyo ambayo ilirekodiwa katika kamera za CCTV, ilikuwa mbaya kiasi kwamba ni watu wachache wanaweza kuamini kama mtu huyo, siyo tu alinusurika katika ajali hiyo, bali hivi sasa ni mzima anayeendelea na maisha mitaani.


Post a Comment