ZACHARIA HANSPOPE KUZIKWA JUMATANO IRINGA

 Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na maandishi yanayosema 'RATIBA YA MAZISHI YA ZAKARIA HANS POPPE é Jumatatu, 13 Septemba 2021 Kuaga Mwili Ukumbi wa Karimjee Saa 3:00 Asubuhi é Jumanne, 14 Septemba 2021 Asubuhi: Familia kutoa heshima za mwisho Nyumbani Ununio Mchana: Mwili wa marehemu kusafirishwa kwenda Iringa Mjini. é Jumatano, 15 Septemba 2021 Mazishi Kiheza Mkimbizi, tringa ME ME SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA MBA Mawasiliano: CrescentiusMagori +255 756 255 808 Ndonde: +255 909 SIMBA 36 SPORTS CLUB'

KLABU ya Simba imetangaza ratiba ya mazishi wa Mjumbe wake wa Bodi ya Wakurugenzi, Zacharia Hanspope aliyefariki jana.

Imesema mwili wake utaagwa Jumatatu kuanzia saa tatu asubuhi Karimjee Hall Dar es Salaam kwa ajili ya watu wote na Jumanne itakuwa ni zamu ya familia kabla ya kusafiri kuelekea Iringa ambako atazikwa Jumatano katika makaburi ya Kiheza Mkimbizi  

 


No comments